JamiiForums Usiku wa manane
3d5da197-0b65-4755-b7b5-31920e3e4a03.jpeg
 
Afadhali nimepata mtu wa kunitoa tongotongo (nitafsirie basi na mimi nipate cha kuchangia).
Thad tutafsilie basi me mwenyewe nimepaotea hapo tu
Jamaa anasema hivi;

Ole wao wageuzao usiku kuwa mchana,
Ole wao walevi na wavuta bangi,
Ole wao wazinzi na wauaji,
Ole wao waongo na wazandiki

Kiitikio: Watakiona cha moto,
watakipata cha mtema kuni x2
 
Back
Top Bottom