JamiiForums Usiku wa manane
f74b929e-4b53-4045-988e-728792d3b6a4.jpeg
 
Kumbe ndio maana na wewe umegundua supu ya ulimi wa mamba!

Niletee na mimi nivute pengine naweza kugundua dawa ya kifo

Kwa ninavyokujua wewe ndio mtu wa kwanza kumshauri asiusogelee kabisa huu mmea.
Kwa haya mawazo ya kugundua dawa ya kifo, kuna siku ukishavuta utataka kumtafuta Mungu alipo umpe ofa ya balimi.
 
Back
Top Bottom