JamiiForums Usiku wa manane
Hizo bange zitakuua maana kila nikikukataza kuzivuta hunielewi
Hakuna mgunduzi au tajiri mkubwa duniani ambaye hakutumia/hatumii huu mmea, wewe hujiulizi kwanini Canada, na U.S.A wameamua kuhalalisha huo mmea.
Kuna siri kubwa sana iliyofichwa ndani ya huo mmea.

Bangi na iheshimiwe na watu wote
(Bangi siachi)
 
ac216b9a-6cde-499c-918d-3facccf68140.jpeg
 
Hakuna mgunduzi au tajiri mkubwa duniani ambaye hakutumia/hatumii huu mmea, wewe hujiulizi kwanini Canada, na U.S.A wameamua kuhalalisha huo mmea.
Kuna siri kubwa sana iliyofichwa ndani ya huo mmea.

Bangi na iheshimiwe na watu wote
(Bangi siachi)
Kumbe ndio maana na wewe umegundua supu ya ulimi wa mamba!

Niletee na mimi nivute pengine naweza kugundua dawa ya kifo
 
Back
Top Bottom