JamiiForums Usiku wa manane
M pm mods ndio nini?? Yaani unajua JF ni kama sayari yAke mna chats zenu, mna accounts zenu hadi raha hapana Ili niweze kuwa na guts za kutapika jina itabidi libadilike ndio tutaenda sawa na wasadikikA
Nilimaanisha unamtumia private msg moderator ila kama bado ngumu hutaelewa ..jaribu kufungua account nyingine kwa id unayotaka nirahis tu unajiregister tu ndani ya lisaa unaanza kuchati
 
Back
Top Bottom