JamiiForums Usiku wa manane
Hahahaha, umetaja geti dogo umenishtua,mmmh nimeamini JF ina watu wengi,au geti hili dogo sio nalo jua mm?

Sidhani mkuu, kuna kituo cha daladala nakumbuka pale UCLAS (Siku hizi inaitwa Ardhi University) kinaitwa hivyo.

Mimi hilo geti hata sijawahi kuliona, najua tu wanaita geti dogo.
 
Back
Top Bottom