Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,835
Leo nimekubahatisha. Napendaga sana avatar yako basi tu [emoji16][emoji16][emoji16]Ya familia ya Mo kuahidi kutoa 1billion ?
Leo nimekubahatisha. Napendaga sana avatar yako basi tu [emoji16][emoji16][emoji16]Ya familia ya Mo kuahidi kutoa 1billion ?
Wakati wa mfungo wa Ramadhan tu au pamanentili?Kuna RPC mmoja huko zenji alipiga marufuku wanaume kuwapigia miluzi wadada wenye misambwanda.
HahahahaLeo nimekubahatisha. Napendaga sana avatar yako basi tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Hivi vitumbo vinapatiakana wapi jamaniKwa nini nijizuie kamanda? Katika dunia hii huru ya kufanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria na/au kuudhi wengine?
View attachment 899344
Mbona ndiyo walinzi wanawasili kwenye sehemu zao? Kuwa na subira mkuu...Lindo limepwaya
Itabidi upitishe roll callWalinzi tupo,ila wawindaji ndio hawapo
[emoji4] sikuizi mizigo mingiYuko sahihi, hataki watu uwashtue ili hali ....
Mie nawatazama tu ,muda ukifika roll callItabidi upitishe roll call
[emoji16][emoji16]Leo nimekubahatisha. Napendaga sana avatar yako basi tu [emoji16][emoji16][emoji16]
Mizigo mingi wabebaji wachache, vijana mnaniangusha Sana[emoji4] sikuizi mizigo mingi
Mie nawatazama tu ,muda ukifika roll call
[emoji16][emoji16]
Kama Mimi niipendavyo ya kwako
Hiyo avatar yako kizungumkuti asikwambia mtu.
Naitoa usijepata jakaa LA moyo