Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,433
Leo nimekubahatisha. Napendaga sana avatar yako basi tuYa familia ya Mo kuahidi kutoa 1billion ?



Leo nimekubahatisha. Napendaga sana avatar yako basi tuYa familia ya Mo kuahidi kutoa 1billion ?



Wakati wa mfungo wa Ramadhan tu au pamanentili?Kuna RPC mmoja huko zenji alipiga marufuku wanaume kuwapigia miluzi wadada wenye misambwanda.
HahahahaLeo nimekubahatisha. Napendaga sana avatar yako basi tu![]()
Hivi vitumbo vinapatiakana wapi jamaniKwa nini nijizuie kamanda? Katika dunia hii huru ya kufanya ukipendacho ali mradi huvunji sheria na/au kuudhi wengine?
View attachment 899344
Mbona ndiyo walinzi wanawasili kwenye sehemu zao? Kuwa na subira mkuu...Lindo limepwaya
Itabidi upitishe roll callWalinzi tupo,ila wawindaji ndio hawapo
Yuko sahihi, hataki watu uwashtue ili hali ....
sikuizi mizigo mingiMie nawatazama tu ,muda ukifika roll callItabidi upitishe roll call
Leo nimekubahatisha. Napendaga sana avatar yako basi tu![]()


Mizigo mingi wabebaji wachache, vijana mnaniangusha Sanasikuizi mizigo mingi
Mie nawatazama tu ,muda ukifika roll call
Kama Mimi niipendavyo ya kwako
Hiyo avatar yako kizungumkuti asikwambia mtu.
Naitoa usijepata jakaa LA moyo