Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,870




.....
Mule nakumbukaga tu "Rest is the weapon", nikikumbuka huo mstari inabidi nilale, especially kama nimechoka ovyo.




.....
Mule nakumbukaga tu "Rest is the weapon", nikikumbuka huo mstari inabidi nilale, especially kama nimechoka ovyo.
Hahahaha ,asee
"Waache waoaneee" nilifunga mboni zangu kwa wengine nimuone yeye tuuu
Duh !! Haya nakusikiliza mwanamkeUnaona sasa...
Hearly nikukumbushe kitu...?
Kushinda mimi![]()
Hujapata kitabu cha kukusahaulisha kula na kulala....
Nakumbuka kuacha kusoma kwa ajili ya mtihani kisa namalizia novel...





Wakimaliza waisaidie na police kutoa maelezo

Nimejibu na ameridhika. Haikatazwi kupenda zaidi ya mmoja.Akijibu, nipe mrejesho
itapendeza zaidi wafike na huku kijichi wanaweza wakampataWakimaliza waisaidie na police kutoa maelezo![]()
Ya kwamba?Nashukuru yametimia
Niliyo yatabiri
Leo lindo lina watu balaa balaa.
Hapa tuangalie maana kuna wageni wengi sana, hawachelewi kuondoka na vifaa vya kazi
nmekukimbiza na maswali ee?!
Sorry kama umekwazika..karibu tena na kesho na kesho kutwa
Hahaa yaani kama sio wewe vile unaye tuporomosheaga mijineno kule JI ... haya bwana kwa heshima na taadhima wacha nifuate rai yako "...Hahahaha,kausha bro ! Hawa viumbe sijui walipewa nini aiseee. Usiendelee bro. Kwa heshima na taadhima nisitiri mwanaume mwenzio.
Duh !! Haya nakusikiliza mwanamke
Hahaa yaani kama sio wewe vile unaye tuporomosheaga mijineno kule JI ... haya bwana kwa heshima na taadhima wacha nifuate rai yako "...
kwema lakini !!?
doh!! basi uko addicted na novel, yaani usahau kusoma kwa ajili ya mtihani ili usome novel..
Basi tuwe tunapasiana mnavyoona vizuri labda nasi tukaonja utamu wake usingizi usitujie tena
Nimecheka loudly!
Resting is weapon. Usiku mwema Chief.Hapana nmekupenda na napenda pia maswali this is why I will be joining you tomorrow.
Usingizi ni muhimu pia kwa Afya ya akili.