JamiiForums Usiku wa manane
Hahaa yaani kama sio wewe vile unaye tuporomosheaga mijineno kule JI ... haya bwana kwa heshima na taadhima wacha nifuate rai yako "...

kwema lakini !!?


Wewe leo naona una mtoto mzuri bbade mimi naendelea kujifunza aisee kutoka kwako mpaka mtoto anataka muende Zenji hatari.

Hapa kuna la kujifunza aiseee...
 
sawa na simba mwenda pole ndiye mwenye ni dhamu ya mawindo "... kwa mwendo huo lazima Nyati/punda milia aliwe tu


Ila cha ajabu tangu April mwaka huu mpaka 00:53 usiku kwa saa za Afrika mashariki na kati,sijaopoa hata mmoja. Bila shaka mimi nitakuwa Simba kipofu tena KIBOGOYO na kucha zimekatwa.

Inauma sanaa.
 
Ila cha ajabu tangu April mwaka huu mpaka 00:53 usiku kwa saa za Afrika mashariki na kati,sijaopoa hata mmoja. Bila shaka mimi nitakuwa Simba kipofu tena KIBOGOYO na kucha zimekatwa.

Inauma sanaa.
Hahaa ina maana unawakana !!! wanayaona matamshi yako hapa " ngojea waje kukuwashia moto pm "... utakuja kulazwa mzungu wa nne mkuu ..shauri yako
 
Back
Top Bottom