MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
hawa ndio wanashangaaga mchunga kufuliwa kabla ya kuliwaMimi pia naliona hilo, tatizo wao wanaisha, o'bay, msasani, masaki na M'beach watawajulia wapi mbu
eti unafua vipi mboga
naonaga aibu
hawa ndio wanashangaaga mchunga kufuliwa kabla ya kuliwaMimi pia naliona hilo, tatizo wao wanaisha, o'bay, msasani, masaki na M'beach watawajulia wapi mbu
Ndiyo yaliyonifikisha hapa nilipo. Hivyo nayajua vyema
Mo11Sitaki mbavu za marehemu mimi. Labda nipewe mbavu za MO11
Usisahau kwenda na rungu kwaajili ya ulinzi binafsi
Unaonaga aibu ya nini sasa? Ya kufua mchunga au ya watu kushangaa mchunga kufuliwa?hawa ndio wanashangaaga mchunga kufuliwa kabla ya kuliwa
eti unafua vipi mboga
naonaga aibu



watu kushangaa mchunga kufuliwaUnaonaga aibu ya nini sasa? Ya kufua mchunga au ya watu kushangaa mchunga kufuliwa?![]()
mbu watakuua weweMo11
Ndo mwenyej wangu anayenipokea
Kumbe niko na mizimu hapa wacha nilale zangu, nyie tulindeni tu maana ndio kazi ya wafu wa kiafrikaMo11
Ndo mwenyej wangu anayenipokea

Mbu ndo nn ...mbu watakuua wewe
Lala mamiiKumbe niko na mizimu hapa wacha nilale zangu, nyie tulindeni tu maana ndio kazi ya wafu wa kiafrika![]()
Lala mamii
Alinisaliti ...Asante. Umsalimie mama swalehe![]()
Pole kwa kusalitiwa na hongera kwa kumlea mwanao.Alinisaliti ...
Nipo na mwanangu hapa ... Tuna drand games
Saa ngap huko
Hapana sio tusi nu mboga flani hivi chungu sana, inapendwa kuliwa na sunguraHata wewe waweza nipa, au ni tusi nini