Uchochezi huo ThadUlichezea bahati sasa waililia, hukujua kuwa bahati haiji mara mbili? Au unadhani juzi sikukuona na mabazazi wenzio mlivyokuwa mnakumbushana jinsi mlivyokuwa mnawakimbia warembo wa JF
Uchochezi huo Thad
Ulichezea bahati sasa waililia, hukujua kuwa bahati haiji mara mbili? Au unadhani juzi sikukuona na mabazazi wenzio mlivyokuwa mnakumbushana jinsi mlivyokuwa mnawakimbia warembo wa JF
Guys I'm sorry, it was just a joke!Bahati gani hy nayo ililia ? Wapi huko tulikua tunakumbushana ? Mm nikimbie mrembo wa JF? Duh OK inawezekana , ila sijutii chochote Mkuu


Rudisha saa yako nyuma sasa hivi ni saa 22:04Guys I'm sorry, it was just a joke!![]()
Heee! Kumbe? Ama kweli pombe si chai, aliyenibadilishia majira atakuwa Nleterewa Nganengo baada ya kuniona niko bwiiRudisha saa yako nyuma sasa hivi ni saa 22:04

Kuna usalama hapoHeee! Kumbe? Ama kweli pombe si chai, aliyenibadilishia majira atakuwa Nleterewa Nganengo baada ya kuniona niko bwii![]()
Usalama utoke wapi wakati unaona keshaanza kunifitini mapema yote hii. Labda jirani yangu uje kuokoa jahaziKuna usalama hapo
Kwa kweli ila nilishawahi kukutahadharisha kwamba pombe si chaiUsalama utoke wapi wakati unaona keshaanza kunifitini mapema yote hii. Labda jirani yangu uje kuokoa jahazi
Thad...shhhhh usiku wa manane bado...kaa kimya...Usalama utoke wapi wakati unaona keshaanza kunifitini mapema yote hii. Labda jirani yangu uje kuokoa jahazi
Kwa kweli ila nilishawahi kukutahadharisha kwamba pombe si chai
Haya, sisemi tena muda ukifika utaniitaThad...shhhhh usiku wa manane bado...kaa kimya...
Nipo hapa rafiki yako, si unajua jinsi gani ninavyo kupenda. Pombe kunywa kiasi maana na yeye si mwaminifu ukizidishaNitafanyaje sasa wakati ndio rafiki pekee ninayemuona mwaminifu anayejua kuniliwaza japo kwa muda katika hii dunia?
Najua u rafiki yangu unipendae 'unconditionally'. Nimekuelewa kuanzia mwakani nitapunguza huu unywaji.Nipo hapa rafiki yako, si unajua jinsi gani ninavyo kupenda. Pombe kunywa kiasi maana na yeye si mwaminifu ukizidisha