JamiiForums Usiku wa manane
Tatizo la kujifunika gubigubi, usingizi ukikoleavunajifunua halafu kwa jito la dar watu hawawezi kujifunika gubigubi
hili kumbe unalijua
mbona unaendelea kubishana
unaniaibisha ujue
 
Daaaaah hushindwi majibu.
mbinu za kushambulia mfano umejifuniia shuka
aaaaaauuu (nilikua naua mbu hapa)
wanaokuja masikioni wanakuja kukuhamishia magoli uanze kukabia juu kumbe wanapita chini kushtuka tatu bila
 
mbinu za kushambulia mfano umejifuniia shuka
aaaaaauuu (nilikua naua mbu hapa)
wanaokuja masikioni wanakuja kukuhamishia magoli uanze kukabia juu kumbe wanapita chini kushtuka tatu bila
kwahiyo inawezekana kabisa kuwa wakati mwingine mbu wana mbinu za mashambulizi kuliko hata binadamu
 
Back
Top Bottom