Mwanyasi
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,955
- 7,111
Bahati mbaya sana sijaona sehemu bali nimeona mrembo tu hapoMpenzi, wewe unapafahamu hapo?






Nilikinywa Shinyanga kikanitokea puaniUliwahi kukinywa wapi kikakulevya?



"Tongue skill" imenikunaPole. Mwambie Dionize N akufundishe. Naamini atakuwa Mwalimu mzuri !!!Nilikinywa Shinyanga kikanitokea puani![]()
Hakika umenielewa vyema, ila kumbuka imeandikwa "Usiape kwa chochote, ila ndio yako na iwe ndio na sio yako na iwe sio"Ndio maana nikaamua kutokuwa adui yako maana sikutaka nikupende katu.
Na nilishaapa kutokuudhiwa na wewe maana sina muda wa kukuombea
Haya ndio ndio, na siyo siyoHakika umenielewa vyema, ila kumbuka imeandikwa "Usiape kwa chochote, ila ndio yako na iwe ndio na sio yako na iwe sio"


Ukikatisha hapo utatukanwa mpaka uombe poooo....![]()
![]()
![]()
Kwa sisi walokole wa level za kusonga ugali kwa kutumia msalaba, akifikia hali hii ghafla tunakatisha safari na kuanza maombi ya kukemea pepo.
Bahati mbaya sana sijaona sehemu bali nimeona mrembo tu hapo
Na maandiko yanasema "Naiwe hivyo".Haya ndio ndio, na siyo siyo![]()