JamiiForums Usiku wa manane
446430428_365011.jpeg
 
Ndio maana nikaamua kutokuwa adui yako maana sikutaka nikupende katu.
Na nilishaapa kutokuudhiwa na wewe maana sina muda wa kukuombea
Imeandikwa "Mpende jirani yako kama nafsi yako" bila kusahau "Fanya kwa mwenzako lile ambalo ungependa ufanyiwe"
Lakini msisitizo zaidi upo kwenye "Wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowaudhi".

Nayapenda sana maandiko ya kwenye Bible.
 
Back
Top Bottom