Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Karibu mkuu, nalenakubhikijaga nafadi yako nkhoi
Naona wanyantuzu mmekutana, ngoja tuwapishe mtete kikwenu kwanza. Mkimaliza mtatuitaUgandaguna unkima wa lushiku lwenulo? Nonu?

Karibu mkuu, nalenakubhikijaga nafadi yako nkhoi
Naona wanyantuzu mmekutana, ngoja tuwapishe mtete kikwenu kwanza. Mkimaliza mtatuitaUgandaguna unkima wa lushiku lwenulo? Nonu?

Ugandaguna unkima wa lushiku lwenulo? Nonu?
Acha visingizio. Kama usingizi umekukaba sema tuNaona wanyantuzu mmekutana, ngoja tuwapishe mtete kikwenu kwanza. Mkimaliza mtatuita![]()



Hapana tuendelee banaNaona wanyantuzu mmekutana, ngoja tuwapishe mtete kikwenu kwanza. Mkimaliza mtatuita![]()
Nabashimbe bagadagunagwa guke. Niyo badebile amamihayo gagitale chizaNduhu nkhoi, nshimbe gashi



Siku izi umekua ambulance?
(Kuna mwanga mmoja kaninong'oneza hilo swali"


Mwambie sio ambulance tena bali ni kiberenge kabisaAcha visingizio. Kama usingizi umekukaba sema tu![]()
Nina aleji na kinyantuzu jamani, mkiongea tu kinanilevya. Hata lucas mobutu analijua hiloHapana tuendelee bana



Imeandikwa "Mpende jirani yako kama nafsi yako" bila kusahau "Fanya kwa mwenzako lile ambalo ungependa ufanyiwe"Basi sio mbaya, usipolinywa utajipaka mwili mzima
Kwani hapo wapi
Uliwahi kukinywa wapi kikakulevya?
Kho! Kho! Kho!



Imeandikwa "Mpende jirani yako kama nafsi yako" bila kusahau "Fanya kwa mwenzako lile ambalo ungependa ufanyiwe"
Lakini msisitizo zaidi upo kwenye "Wapendeni adui zenu na waombeeni wanaowaudhi".
Nayapenda sana maandiko ya kwenye Bible.
Nabashimbe bagadagunagwa guke. Niyo badebile amamihayo gagitale chiza![]()