Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Ila watu wa Dar es salaam mmezidi uchoyo, yaani mnashindwa kuwapunguzia joto wenzenu wa Njombe, badala yake mmejirundikia joto lote hili peke yenu?![]()

Ila watu wa Dar es salaam mmezidi uchoyo, yaani mnashindwa kuwapunguzia joto wenzenu wa Njombe, badala yake mmejirundikia joto lote hili peke yenu?![]()

Hayo ni maneno tu hata kwenye khanga yapo, kwahiyo usijali kabisaIla ni maneno mazito, hata weighbridge haipimi
"Mshindo mkuu"Umekuja na mshindo gani mkuu?
Hivi umeshafika huko ukasikia baridi lake?![]()
Usicheke mkuu, yafanyieni kazi haya maneno yangu, mtaiona faida yake
Usijali kipenzi tutaenda next next weekend!Badooo, nipeleke mpenzi
Hapana mkuu siwezi tamani kumezwa, hujagundua kitu kweli?Kusema na ukweli nimefundishwa kupenda ila niipende nafsi yangu kwanza.
Sijui nimekujibu?
Vipi kuna mtu unatamani akumeze?
Akili yangu nyembamba haijajua methali, hata sijagundua chochote. Naomba unijuze kama kuna loloteHapana mkuu siwezi tamani kumezwa, hujagundua kitu kweli?
Usiku mwema wana jf usiku wa manane,mungu akipenda wote tuamke salama .mungu awe nanyi daima.
Nimefurahishwa na wazo lako bibie.Usicheke mkuu, yafanyieni kazi haya maneno yangu, mtaiona faida yake

Kusema na ukweli nimefundishwa kupenda ila niipende nafsi yangu kwanza.
Sijui nimekujibu?
Vipi kuna mtu unatamani akumeze?
Mmeninukuu vibaya kama mlivyomnukuu vibaya mkuu wa mkoa juzi
Haturudii kukunukuu!
UmejuajeAmina, lala unono. Tangu nizaliwe sijawahi kuotwa, naomba uniote leo nami nionje ladha ya kuotwa![]()
That's my man!
Sio hilo ongezea kabisa na ule usemi wa kitaalamu kuwa 'Nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali tamu kuliko ya nyuki'Nimefurahishwa na wazo lako bibie.
Nimefanya tafakuri tunduizi nikagundua hata Abunuasi alikua ana mawazo mazuri mazuri sana, sema watu waliku hawamweli (haina uhusiano wowote na wazo lako)![]()


Wewe wasema, na ikiwezekana kikombe hiki kiniepukeSio hilo ongezea kabisa na ule usemi wa kitaalamu kuwa 'Nzi akiacha ujinga anaweza kutengeneza asali tamu kuliko ya nyuki'![]()

Najua tu maana sijawahi kuhisi huo utamu wanaoupata wanaootwaUmejuaje