JamiiForums Usiku wa manane
hapa ni mwendo wakupekua pekua kwenye mitandao na kamziki kwa mbali mpaka majogoo yote yaamke
 
Fid Q anasema wakati wanafanya hii ngoma yeye alikuwa wa kwanza kuingiza vocals, Ngwair alipokuja kufanya yake ilibidi Fid aombe kufuta mistari ya kwanza na kurudia upya. Kitu ambacho hajawahi kufanya.
Yule jamaa alikua amebarikia
Ghetto langu
Mikasi
She got a gwan
Weekend
Sugu ft ngwair... ringa
Wakitaa
Daz ft ngwair.... wife
Sikiliza
N.k
 
Back
Top Bottom