JamiiForums Usiku wa manane
Soon utahamia huku, japo siyo uzunguni, lakini utulivu na nidham
Mna matatizo kama yangu, sema mimi yamezidi hayo ya paka. Vurugu za baa zikiisha paka wanaingia ulingoni, paka wakipumzika mbwa wanaanza shughuli yaani ni vurugu tupu
 
Back
Top Bottom