Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,668
- 96,525
HahahahaU-afande siko imara aisee maana sjko idara hiyo
HahahahaU-afande siko imara aisee maana sjko idara hiyo
Khs totoz Mkuu ,mje na Thad aseeU-afande siko imara aisee maana sjko idara hiyo
Umefika wakati muafaka
Kuna msosi?
Akikujibu nitag[emoji6]
Waungwa wacha nilale maana naona sauti za mapaka ya mtaa huu zimezidi. Nimeelewa kwanini Marijan aliamua kuhamia mtaa wa saba, khaa! si kwa kero hii
Nakumbuka enzi nimehamia hapa napokaa hii bar ya jirani walikua wanasumbua jamani. Bora walivyoambiwaga Mwisho SAA Tano Nikaanza kulala vizuri sasa.Hapa kwangu ni sauti za walevi tu, kuna grocery jirani leo wamevusha muda.
Shida sana.
Waungwa wacha nilale maana naona sauti za mapaka ya mtaa huu zimezidi. Nimeelewa kwanini Marijan aliamua kuhamia mtaa wa saba, khaa! si kwa kero hii
Nakumbuka enzi nimehamia hapa napokaa hii bar ya jirani walikua wanasumbua jamani. Bora walivyoambiwaga Mwisho SAA Tano Nikaanza kulala vizuri sasa.
Naona umefika kamili
AsantePumzika mpenzi!
Hahahahaa. Pole mchumbaHapa kwangu mama mwenyewe grocery akiwepo huwa wanachelewa kufunga, basi ni kero, kuna muda hadi unahama chumba kukwepa direction ya kelele.
Popooooooozzzzz
Hahahahaa. Pole mchumba
Hapana...Ndiyo umeamka?
Hapa kwangu ni sauti za walevi tu, kuna grocery jirani leo wamevusha muda.
Shida sana.
Mna matatizo kama yangu, sema mimi yamezidi hayo ya paka. Vurugu za baa zikiisha paka wanaingia ulingoni, paka wakipumzika mbwa wanaanza shughuli yaani ni vurugu tupuNakumbuka enzi nimehamia hapa napokaa hii bar ya jirani walikua wanasumbua jamani. Bora walivyoambiwaga Mwisho SAA Tano Nikaanza kulala vizuri sasa.