Rijali jandoni
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 2,165
- 2,253
ndio tatizooo hiloo hujui kunong'oneza ila leo upo na nanii nipe jina nika msalimuu pmNyata
ndio tatizooo hiloo hujui kunong'oneza ila leo upo na nanii nipe jina nika msalimuu pmNyata
PM huko kuna wenyewe mi napenda kuwaitia watu madirishani nikisimama barabaranindio tatizooo hiloo hujui kunong'oneza ila leo upo nan nanii nipe jina nika msalimuu pm
weweee huchangiagii zile mada za na gari linasumbua sijui shaft hand break au nauza gari nissan zero grazing ukiziona changamkia alafu kapm akikataa basii huyooo sio njiwa wako mshuaaPM huko kuna wenyewe mi napenda kuwaitia watu madirishani nikisimama barabarani
Hizo biashara nazionaga mkuu, kila mbuyu una shetani wake, tatizo humu mibuyu yenyewe inaweka picha za miembe na miwaridi, na hata mipasheni, kumbe unaweza ukaikuta uhalisia ni michongoma sasa sijui huyo shetani gani anakaa michongomaniweweee huchangiagii zile mada za na gari linasumbua sijui shaft hand break au nauza gari nissan zero grazing ukiziona changamkia alafu kapm akikataa basii huyooo sio njiwa wako mshuaa
Wanaume wa siku hizi ni tabu tupu hakuna cha wanaume wa Dar wala wa mikoani....eti wanaogopa giza hivyo wanasubiri kupambazuke ndio waje lindo![]()
![]()
![]()
Cc Ushimen SHIMBA YA BUYENZE Kichwa Kichafu, Nleterewa Nganengo@Don Clericuzio mtu chake Mr Miller HB wa kigogo DINGI MTOTO@ Chumchang changchum...@lucas mobutu



Nashinda kuwaelewaWakuu hivi mpo PM au mmeenda maliwato


Haswaaa ni mapacha nje siyeeSisi ni mapacha wa nje, yaani baba mmoja mama mbali mbali!![]()

Ni huyu chungichungu sio mie shoo(hilo jina aah atakua ameelewa).Tabia yenu ya kulianzisha mapema sijaipenda mjue
Umepotea sikuhizi unategea lindo weweWeweeee !!!![]()