maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,137
- 3,876
Haswaa bora umekuja sasa haya majanaume ndo yanakoroma tu huko sisi tulinde loohNdo maana na Mimi nimekuja
Haswaa bora umekuja sasa haya majanaume ndo yanakoroma tu huko sisi tulinde loohNdo maana na Mimi nimekuja
Boss wako unamwitaje mlinziKwan we sio mlinzi eee
Ndo maana na Mimi nimekuja
Tuwaoneshe kuwa wanawake tunaweza hata tusipowezeshwa!Haswaa bora umekuja sasa haya majanaume ndo yanakoroma tu huko sisi tulinde looh



Haswaaa manake ndo hawa wanalala ndani mwanamke ndo wa kuhakikusha milango imefungwa na silaha zimewekwa vizuri doihTuwaoneshe kuwa wanawake tunaweza hata tusipowezeshwa!![]()
Nyie walinzi wa kizazi kipya mnashangaza sanaTupo gizani tumelala tutalinda kukipambazuka![]()
![]()
![]()
UmekujaKuna mtu simuoni humu.
MwiteKuna mtu simuoni humu.
Nyinyi hamuaminiki kabisa hata mende akikatiza huko mshakimbia lindo tayariHaswaaa manake ndo hawa wanalala ndani mwanamke ndo wa kuhakikusha milango imefungwa na silaha zimewekwa vizuri doih
Boss wa walinzi sio mlinzi yeye kazi yake ni kutoa maelekezo tuKwan boss wa mlinzi nae si ni mlinzi au
Wanaume wa siku hizi ni tabu tupu hakuna cha wanaume wa Dar wala wa mikoani....eti wanaogopa giza hivyo wanasubiri kupambazuke ndio waje lindoHaswaaa manake ndo hawa wanalala ndani mwanamke ndo wa kuhakikusha milango imefungwa na silaha zimewekwa vizuri doih
Sawa bossBoss wa walinzi sio mlinzi yeye kazi yake ni kutoa maelekezo tu
Yani hawa sijui wamebananizwa kwenye chocho gani wallah hadi midnight hivi hawajanusaWanaume wa siku hizi ni tabu tupu hakuna cha wanaume wa Dar wala wa mikoani....eti wanaogopa giza hivyo wanasubiri kupambazuke ndio waje lindo![]()
![]()
![]()
Cc @Ushimen,Shimba ya Buyenze,Kichwa Kichafu,Nleterewa Nganengo,Don Cleo....,mtu chake, Mr Miller, HB wa Kigogo, dingi mtoto
Alafu wanaume wa sikuhizi kila kona ni janga tu hakuna wa dar wala mikoani shooWanaume wa siku hizi ni tabu tupu hakuna cha wanaume wa Dar wala wa mikoani....eti wanaogopa giza hivyo wanasubiri kupambazuke ndio waje lindo![]()
![]()
![]()
Cc @Ushimen,Shimba ya Buyenze,Kichwa Kichafu,Nleterewa Nganengo,Don Cleo....,mtu chake, Mr Miller, HB wa Kigogo, dingi mtoto
Hahahahaha yani nmecheka hilo jina la chumchang sijui vitu gani ulivyoliandika wuuuuWanaume wa siku hizi ni tabu tupu hakuna cha wanaume wa Dar wala wa mikoani....eti wanaogopa giza hivyo wanasubiri kupambazuke ndio waje lindo![]()
![]()
![]()
Cc Ushimen SHIMBA YA BUYENZE Kichwa Kichafu, Nleterewa Nganengo,Don Cleo.... mtu chake Mr Miller HB wa kigogo DINGI MTOTO, Changichungi...,
Wanasubiri kukuche ndo waje kutaja muda/ kupost habari picha na kuunga mkono hojaYani hawa sijui wamebananizwa kwenye chocho gani wallah hadi midnight hivi hawajanusa

Hahaha si bora sisi kuliko nyie vidume mnalala ndani kabisaaNyinyi hamuaminiki kabisa hata mende akikatiza huko mshakimbia lindo tayari
Hahahahaha yani nmecheka hilo jina la chumchang sijui vitu gani ulivyoliandika wuuuu
Ana mjina mbaya wa kichina mi unanishinda kutamkaWapo sana ila Huku tu ndio hawajafikaWanaume wa siku hizi ni tabu tupu hakuna cha wanaume wa Dar wala wa mikoani....eti wanaogopa giza hivyo wanasubiri kupambazuke ndio waje lindo![]()
![]()
![]()
Cc Ushimen SHIMBA YA BUYENZE Kichwa Kichafu, Nleterewa Nganengo,Don Cleo.... mtu chake Mr Miller HB wa kigogo DINGI MTOTO, Changichungi...,