Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Sisi wengine ni wagogo kwa majina tu. Tumekulia mikoani.
Hahaha, nakagua na hukoYaani umeacha lindo umeenda mtaa wapili? Nitakusemea kwa boss
Nimekumissimo zaidiThad karibu nimekumiss

Usiku mwemaSisi wengine ni wagogo kwa majina tu. Tumekulia mikoani.
HakiSema haki!![]()
Ulale salama. Nakutakia siku njemaUsiku mwema
Hapana ila Nilitaka kujua kwaninUnatuonea wivu ama?![]()
![]()
Basi nipeleke Nkuhungu au Makulu nikale zabibu na karangaHaki

Asante na kwako piaUlale salama. Nakutakia siku njema
Kivipi wakati wewe mwenyewe unaacha lindo peke yake?Niliwahi kusema humu ,hii kazi itafika muda mtaniacha pekee yangu
Oooh! Kumbe mgogo jina?Sisi wengine ni wagogo kwa majina tu. Tumekulia mikoani.

Hapa mtaani nyau nyau walianza kusumbua nikaona Nile nao sahani moja,Tabia yenu ya kulianzisha mapema sijaipenda mjue
Unakaguaje kwa watu bwana, baki hapa na sisiHahaha, nakagua na huko
Ulijua ni nini?Oooh! Kumbe mgogo jina?![]()
Hapa mnategea ,wavivuUnakaguaje kwa watu bwana, baki hapa na sisi
Ni upendo tu, hakuna kingineHapana ila Nilitaka kujua kwanin
