Basi, ya kaisali mwachie kaisaliKweli kuhusu? ??
Rafiki yako yule mr.nanii sijuiYupi huyo?
Hamna shidaBasi, ya kaisakali mwachie kaisali
Ulale salama. ...Wapendwa usiku mwema! Mungu awalinde
Shukrani [emoji120]Ulale salama. ...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbona umekuwa mdogo kama piriton?Basi, ya kaisali mwachie kaisali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mbona umekuwa mdogo kama piriton?
Mbona mapema sana mpendwa? Naomba kesho nije kupata break fast kwako[emoji39] [emoji39] [emoji39]Wapendwa usiku mwema! Mungu awalinde
Ooh! Natakiwa niamke mapema sana Karibu sana!Mbona mapema sana mpendwa? Naomba kesho nije kupata break fast kwako[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Umegundua nini? Ninong'oneze[emoji38][emoji38] kuna kitu, nimekigundua imebidi nisiharibu hali ya hewa
KaribuTupendane diama dawamu...!
Duh! Msanii tena?[emoji848]Unanifatilia wapi humu jf ? Humu ni ngumu sana kuupata ukweli kuhusu mimi.
Naweza mimi nikawa ni miongoni mwa wasanii nguli tuliopo humu jf.
Ila najua wewe ni mtu mzima mwenzangu,unajua ni namna gani ya kuupata ukweli kama ulivyo.
Njoo chemba, maana hapa si vyema sanaUmegundua nini? Ninong'oneze
Nimekupa angalizo sijasema mimi ni msanii,yaani uwe makini katika kunifatilia kimya kimya.Duh! Msanii tena?[emoji848]
Haya najaNjoo chemba, maana hapa si vyema sana
Shukrani sana. NitakaribiaKaribu
Haya naja