maliyamtu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 2,137
- 3,876
Hahaha hapo kwe kuwezeshwa ndo mnapakomalia sana hampendi kabisaa kutoa ela sahivi eti kisa 50 kwa 50 em acheni hizo mambo buanaBungeni kule tunasikia 50 kwa 50
Wanawake wanaharakati tunawasikia wakisema bila kuwezeshwa mnaweza
Sasa sijui yana ukweli kiasi gani
Kweli sisi wanaume hatuwawezeshi