Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,094
- 3,020
Unakwama wapi mkuu?Mzee baba mbona kazi ngumu unanipa
Unakwama wapi mkuu?Mzee baba mbona kazi ngumu unanipa
Yaani hapa isibaki sketi hata mojaNaenda kulala
Si ndiyo kiburudisho chenyewe, ila unaweza kuwa mwanamke maana viburudisho sasa wako kazini wanaburudisha ninilii zao sasa huku..Hapana mimi ni mwanamke sio kiburudisho
Kho! Kho! Kho! Kumbe una mihela basi najileta mwenyewe hata sina haja ya kuletwa na peterchokaMkuu nisemee hapo kwa mtoto mzuri aje pm, si unajua tena bamutu ya Kongo domo zege iko toa mihela tu.
Usiku wa manane unanoga pmHapana sijaiona, iko wapi?
Kuna malalamiko
Walinzi mnapiga sana chabo kwenye madirisha ya watu
Sema Mkuu
Karibu, mlango nmeegesha tu.Kho! Kho! Kho! Kumbe una mihela basi najileta mwenyewe hata sina haja ya kuletwa na peterchoka
Bora unipe hela mkuu nitafikisha, hizi lawama unanipaUnakwama wapi mkuu?
Yaani hapa isibaki sketi hata moja
Hivi huko pm ndo wapi, mimi mbona sipajui?Usiku wa manane unanoga pm
Ameiona mkuu unaweza kulala sasa sisi tutakua bize pmUsiku wa manane unanoga pm
Vya wanaume haviendi bure Thad shauri yakoKho! Kho! Kho! Kumbe una mihela basi najileta mwenyewe hata sina haja ya kuletwa na peterchoka
Tuwaoneshe kuwa wanawake tunaweza hata tusipowezeshwa!
wanaburudisha nini?Si ndiyo kiburudisho chenyewe, ila unaweza kuwa mwanamke maana viburudisho sasa wako kazini wanaburudisha ninilii zao sasa huku..
Mbona unanifukuza mkuuAmeiona mkuu unaweza kulala sasa sisi tutakua bize pm
Thad bhnaa.. Ni huku private message aka chumbani. Come basi wataamka humuHivi huko pm ndo wapi, mimi mbona sipajui?
Nitaendelea kulinda UziAmeiona mkuu unaweza kulala sasa sisi tutakua bize pm
Jana wanaume mlikimbia lindo kisa giza! Unalolote la kujitetea mlinzi mwandamizi?Kuna malalamiko
Walinzi mnapiga sana chabo kwenye madirisha ya watu