Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,870
Hapana bwana...acha na Mimi nitoe fursa kwa mwanamke mwenzangu....kubanana siweziKeep knocking you might come in
Hapana bwana...acha na Mimi nitoe fursa kwa mwanamke mwenzangu....kubanana siweziKeep knocking you might come in
NishamsahauAnaitwa nanii vileee
ule ugonjwa mpk upate nesi ndio akutibuMimi sigala wala pombe sijawahi tumia kabisa. Bado naishi kwa wazazi naogopa kufarakana nao.....Hahaaa jiwe gizani hili..
Chige sijawahi hata kum-quote



Hapo vizuriiHapana bwana...acha na Mimi nitoe fursa kwa mwanamke mwenzangu....kubanana siwezi
Mimi wananiita Baby Face hapa chuoni jamani....Sema zee la nyani unayeogopa umande
Duh basi nomaKsmshinda lemutuz kidogo

Nawe nipe nafasi basiHapana bwana...acha na Mimi nitoe fursa kwa mwanamke mwenzangu....kubanana siwezi
Hawa mabinti wanapenda wazee so usionee aibu mkuuMimi sigala wala pombe sijawahi tumia kabisa. Bado naishi kwa wazazi naogopa kufarakana nao.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mm tu.Duh basi noma
Mara ya kwanza kumuona le mutuz ni mwaka 2015 nadhani, niliona picha yake na lulu wapo beach wamekumbatiana. Nikadhani baharia ni mtu tajiri sana huko dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Doh ngoja niwapishe,nitarudi baadae kdgHawa mabinti wanapenda wazee so usionee aibu mkuu
Sina hulka ya aibu kwa mabinti...Hawa mabinti wanapenda wazee so usionee aibu mkuu
Yaani...wee acha tu....Baraka zangu mnazo.Yamekuwa hayo![]()
![]()
Njoo kwangu kuna space yako tuHapana bwana...acha na Mimi nitoe fursa kwa mwanamke mwenzangu....kubanana siwezi
Fursa hii, njoo kwangu basiHapana bwana...acha na Mimi nitoe fursa kwa mwanamke mwenzangu....kubanana siwezi


Hayo ndio manenoHapana bwana...acha na Mimi nitoe fursa kwa mwanamke mwenzangu....kubanana siwezi
Mwanaume anayejisema hakai na maskini ni maskini kuanzia akili hadi mali,