Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,870
Pamoja sana...huwa nakuchunguliaga huku ila unajifanya hunioni...poa tuMmhh anza kua karibu yangu kipind hiki nachonuka shombo
Pamoja sana...huwa nakuchunguliaga huku ila unajifanya hunioni...poa tuMmhh anza kua karibu yangu kipind hiki nachonuka shombo
Wanasemaga "utakula na uliyeokota nae kuni bob"Mmhh anza kua karibu yangu kipind hiki nachonuka shombo
Mume wa mtu saa nane kasoro hii eti yuko bize na jfMbona kama umehamisha ubize huku...Jf...fanya utuachie vijana...msalimie mama sana

Eeehh kumbe ni konfidenshio...basi acha nikaitafute...nitarejeamazungumzo confidential .
Niko lindo mkuu "mkono uende kinywani",nikirudi ntamsamlimu mkuu.Mbona kama umehamisha ubize huku...Jf...fanya utuachie vijana...msalimie mama sana
Hawa wakuda wananikelaaaaa kwelii inajifanya mistaarabu wanatuchukia sisi tunaoandika uozo ili kuwapata maduu kumbe mishenzi. Mwisho inawazalilisha dada zetu humu.Angalia kwny list yako ya wale wana majamaa wanao act "ma gentleman hatarii" utampata tu boss.
Usiku mwema jamani mchana mwema pia kwa wenzangu na mimiDunia ni mviringo huku mchana kule usiku

Eeehh kumbe ni konfidenshio...basi acha nikaitafute...nitarejea
ndio .fanya hivo .huezi jua labda naeza kukupa u dcHahah atakua ni yule chief engineer mkuu.Alikua sio wewe huyu?
Halafu hili neno mkuu limekaaje?Niko lindo mkuu "mkono uende kinywani",nikirudi ntamsamlimu mkuu.
Nskuja nisubiriUsiku mwema jamani mchana mwema pia kwa wenzangu na mimi![]()
Hapana Man is first siku hizi
Kasema Yuko Lindo....Mume wa mtu saa nane kasoro hii eti yuko bize na jf![]()
Wanajua wakina dada wanapenda kudanganywa/kubebishwa&they give it all mkuu.Hawa wakuda wananikelaaaaa kwelii inajifanya mistaarabu wanatuchukia sisi tunaoandika uozo ili kuwapata maduu kumbe mishenzi. Mwisho inawazalilisha dada zetu humu.
Mmmhh sijawahi kuona hata like achilia mbali quotePamoja sana...huwa nakuchunguliaga huku ila unajifanya hunioni...poa tu
Tusiokuwa na nane nane....tukawajibikeUsiku mwema jamani mchana mwema pia kwa wenzangu na mimi![]()
Inasikitisha mnooWanajua wakina dada wanapenda kudanganywa/kubebishwa&they give it all mkuu.
Maisha ndg yangu,nilikimbia umande(shule) matokeo yake ndo haya niko malindoni usiku wa mananeMume wa mtu saa nane kasoro hii eti yuko bize na jf![]()
KabisaaaTusiokuwa na nane nane....tukawajibike
Ndio maana nikasema nachunguliaga...lazima utazame mazingira kwanza...Mmmhh sijawahi kuona hata like achilia mbali quote
Acha uongo...nisha ku Quote Da'Vinci...nitakuletea screen shot...ujue sijaanza Leo kukuchungulia.Mmmhh sijawahi kuona hata like achilia mbali quote
