JamiiForums Usiku wa manane
Ndio nayo ni dawa pia (kwa mujibu wa padri mcharo) ila hizo nilizompa ni kisayansi kabisa
Hahah ushauri wa padri mcharo tena?

Aisee jamaa atakonyeza mpk fluid kwny jicho itakauka mpe Disclaimer kabisaaa
 
Niko nasikiliza non-stop ya nyimbo za Lucky Dube kawimbo ka Don't Cry aisee huyuu jamaa noma sana. Mungu amrehemu
 
Nachukia uongo na mwongo😡😡 si bora ungesema kua unatania
Utani sio mzuri mkuu.

Kuna jamaa alikua kwny haice jirani yake kuna dada akawa ananyonyesha, sasa dogo akawa anazingua kunyonya na yule maza akawa anamwambia dogo "nyonya nyonya au ntampa uncle anyonye".

Daah jamaa mwishowe uvumilivu ukamshinda akamwambia dada,hv unajua nimepitiliza kituo cha haice kwa ajili yako,kama unanipa ninyonye nipe tu ila utani sipendi kabisaa ,hahah.
 
Back
Top Bottom