JamiiForums Usiku wa manane
Utani sio mzuri mkuu.

Kuna jamaa alikua kwny haice jirani yake kuna dada akawa ananyonyesha, sasa dogo akawa anazingua kunyonya na yule maza akawa anamwambia dogo "nyonya nyonya au ntampa uncle anyonye".

Daah jamaa mwishowe uvumilivu ukamshinda akamwambia dada,hv unajua nimepitiliza kituo cha haice kwa ajili yako,kama unanipa ninyonye nipe tu ila utani sipendi kabisaa ,hahah.
Alikua sio wewe huyu?
 
Back
Top Bottom