JamiiForums Usiku wa manane
Hahaaa nimeacha kufuatilia mambo ya Spiritual awakening feb 3 mwaka huu. Niliamua nijikite kwa Mungu zaid
Ndio maana jana niliona umeandika damu ya yesu iwe nawe usiku huu nikashangaa sana hahah.

Umebadilika sana hahah.
 
Mkuu PM yangu nikifungua ina-load afu inaandika this module isn't nini sijui,inashida nadhani.

Inakuaje lkn mkuu.
Ooh jaribu kwa browser. Kuna zile picha nilikukuta sehemu unazizungumzia jukwaa moja.mhusika akawa anatokwa povu
 
Back
Top Bottom