Lone _Wolf
Senior Member
- Dec 19, 2017
- 119
- 84




enjoying myself reading these awesome laughter comments from u guys



enjoying myself reading these awesome laughter comments from u guysHutaki uwe kibenten?Nisalimie tu mambobya kutongoza mm sijuagi humu jf
Leo sina usingizi, jamaa mmoja aliwahi kunishauri kusoma novel ngumu kumeza usingizi unaupata fasta. Sijawahi kujaribu kama kuna ukweli kuhusiana na hili. Mliokosa usingizi kama mimi na mpo JF naombeni majibuNimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmoja wapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nn kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11Asbh. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua nakunywa maji na kwenda kukojoa tu mpaka kukuche!
Surething mkuu, mim mlalaji wa saa nane au tisa hiv, kusoma novel kunasaidia kama una mazoea au kama umejarbu ikatikiLeo sina usingizi, jamaa mmoja aliwahi kunishauri kusoma novel ngumu kumeza usingizi unaupata fasta. Sijawahi kujaribu kama kuna ukweli kuhusiana na hili. Mliokosa usingizi kama mimi na mpo JF naombeni majibu
Hahah kama kawa bwana mdogo.Oyaaa dogo upo lindo tayar..
Ushauri kutoka kwa Juma Njemba wa Kg huu.Tips za kupata usingizi haraka.
- Kapua haraka haraka kwa muda wa sekunde 60-120 usingizi utakuja
- Weka kipande kidogo cha mkaa juu ya sikio usingizi utakuja fastaa
Kazi unaweza upewe usajili wa kudumu?Kama hiyo fursa yapatikana naweza itumikia kwa uaminifu mkuu amu
Hahaa hamna ni Tips za kisayansi hizo mkuu. Huyo mtu simjuiUshauri kutoka kwa Juma Njemba wa Kg huu.
Sawa mkuu, Kapua maana yake nini?Tips za kupata usingizi haraka.
- Kapua haraka haraka kwa muda wa sekunde 60-120 usingizi utakuja
- Weka kipande kidogo cha mkaa juu ya sikio usingizi utakuja fastaa
Naamu naweza kadri nilivyojaliwa na mwenyezi. UsihofuKazi unaweza upewe usajili wa kudumu?
Tobaa nimetumia kiswahili cha huku kwetu kijijini.Sawa mkuu, Kapua maana yake nini?
Hapo kama usajili umekosa nafasi sifa za ziada ndo nataka kusikiaNaamu naweza kadri nilivyojaliwa na mwenyezi. Usihofu
Haina haja ya kuwa na shaka huku kwetu Kazi ya uhakika ndo kipaumbele chetu (wazee wetu hawajatuacha salama)Hapo kama usajili umekosa nafasi sifa za ziada ndo nataka kusikia
Hapo tumeelewana. Nita kapua saa nane nane hiviTobaa nimetumia kiswahili cha huku kwetu kijijini.
Ni Blink/konyeza/kapua
Hahah aisee humjui mkuu?Ntapita kwny ile thread ya njemba nione kama hujatia neno mkuu.Hahaa hamna ni Tips za kisayansi hizo mkuu. Huyo mtu simjui
Usiku mwema da vinc kesho pia ni sikuHaina haja ya kuwa na shaka huku kwetu Kazi ya uhakika ndo kipaumbele chetu (wazee wetu hawajatuacha salama)
Kapua=Kujichua/puleee.Sawa mkuu, Kapua maana yake nini?
AhsanteUsiku mwema da vinc kesho pia ni siku