amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,275
beeeee
beeeee
Nsona leo pia umejumuika nasi mapopobeeeee
Jina lako lina maana gani/kwann ulijiita hvo?Nimesjtushwa
Kabla ya yote mimi ni mwanaume. Niendelee?Jina lako lina maana gani/kwann ulijiita hvo?
nina usingizi balaaa nitapotea mda mchache ujaoNsona leo pia umejumuika nasi mapopo
Endelea mkuuKabla ya yote mimi ni mwanaume. Niendelee?
thubutu sina ujanja huo leoIkaa nami amu utalala hata saa nane
Kwan unalalaga saa ngapi ?thubutu sina ujanja huo leo
Squirtinator ni jina linalotokana na neno, squirt! Kwa wanawake, hiki ni kitendo cha wanapokuwa wamesisimulika sana sexually kuna kimiminika kama maji hutoka kama mkojo kwa pressure kali. Anaweza akarusha maji hayo hata urefu wa mita 2.Endelea mkuu
Ulipotelea wapiiMpogo macho humu?
Hahahaaaaaa.Hahaaaaa jf bwana raha sana..
Kwahiyo ukajiita mkojozaji. Hongera sana mkuu endelea kutuwakilisha chama la kiumrni kunnako 6*6
Nilitekwa na mtu asie julikanaUlipotelea wapii
Nimecheka halafu fala sana wewe jf ya sahivi sijui ikoje eti engaging in conversation ila nlikuwa natongozwa na new memberUlikua unachat na nani pm?
Sawa kazi kwakoNami naomba niwe mtu wako asiye julikana niwe nakuteka kila siku
Nina mtongozo mkuu usiniharibieHahaa ila mimi ni fala kidogoo tu.. nami japo unisalimie pm. Pm yangu itoe gundu
Kumbe bora huyu alieniteka mwanzo alikuwa ananiacha niingie humu... Kumbe wewe sikutaki labda ubadilishe katiba na sheriaKwakweli mm nikikuteka watu hawatakuona humu ninateka vibaya

Mmmh! Haya twende tukajiteke dunia ya peke yetuKwangu hakuna udikteta ni amani tu na demkrasia..
Ingependeza kama tungejiteka kwenye jukwa letu wawili tu