JamiiForums Usiku wa manane
00:45 risasi zinalia kwa jirani yangu muda huu... kesho asubuhi ntajua kama ni majambazi au wametifuana wenyewe humo ndani

usiku wa manane una mambo ningelala nisingezisikia risasi leo
 
nimeona sasa hivi zimetoka gari mbili mbio kweli subaru foresta na ford everest nyeupe... na hizi gari sijawahi kumuona nazo jiran yangu
 
Back
Top Bottom