Iyegu
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 6,276
- 12,424
Teh Teh, Mkuu Kumbe Na Wewe Unaweza Kuwa MtumishiAisee, mwambie asisahau kwamba anatakiwa kukesha akiomba mpaka atakapokuja Mwana wa Adamu, au anataka yamkute ya wanawali kumi? Mwamshe tafadhali.
Teh Teh, Mkuu Kumbe Na Wewe Unaweza Kuwa MtumishiAisee, mwambie asisahau kwamba anatakiwa kukesha akiomba mpaka atakapokuja Mwana wa Adamu, au anataka yamkute ya wanawali kumi? Mwamshe tafadhali.
Hivi kwanini unamwekea kauzibe mwenzio?Hiyo saa moja umeipata ila sio saa hii ni kesho mchana.

Yaani unamsikiliza yeye badala ya kunisikiliza mimi?Duh.. Basi Nivute Subra Mkuu
Hahaha ya kaisari mwachie kaisari na ya Mungu mpe Mungu.Hivi mpaka lini nitakufundisha maneno ya wahenga.....'Alalaye usimwamshe ukimwamsha utalala wewe' au unataka Mr Miller alale?
Anataka Kuvunja Ile Amri Ya ' Mpende Jirani... 'Hivi kwanini unamwekea kauzibe mwenzio?![]()
Hapo kaisari ni nani?Hahaha ya kaisari mwachie kaisari na ya Mungu mpe Mungu.

Basi Mtumishi Nakutegea Sikio Langu, Ili Mradi Nipate Kupona!Yaani unamsikiliza yeye badala ya kunisikiliza mimi?
Ewaah nimeanza kuona chembechembe za upako kabla hata ya kusogea hekaluni.Nikisha kuombea nitakupa cheo cha uinjilist

Inabidi nimwombee ili hiyo roho ya kuvunja amri ya upendo imtokeAnataka Kuvunja Ile Amri Ya ' Mpende Jirani... '

Hahaha kuna mahali niliona pameandikwa hivyo nikakaririTeh Teh, Mkuu Kumbe Na Wewe Unaweza Kuwa Mtumishi
Hivi kwanini unamwekea kauzibe mwenzio?![]()
Huo ufaulu wa upili ulikuwa katika masomo gani? Isije kuwa ulifaulu civics na bible knoledge halafu unataka upewe kazi ya Yuda msalitiEwaah nimeanza kuona chembechembe za upako kabla hata ya kusogea hekaluni.![]()
Usisahau pia upande wa Uhasibu nimefanikiwa kumaliza darasa la upili kwa ufaulu tukuka.![]()

UmeanzaYaani unamsikiliza yeye badala ya kunisikiliza mimi?

Ufanye Haraka Ili Aache Kunizibia Zibia Bhana!Inabidi nimwombee ili hiyo roho ya kuvunja amri ya upendo imtoke![]()
Hao wahenga wakoHapo kaisari ni nani?![]()
Njoo atakayewahi kufika ndie atakuwa wa kwanza kuhudumiwaBasi Mtumishi Nakutegea Sikio Langu, Ili Mradi Nipate Kupona!
Umedesa Neno La Mungu :lolHahaha kuna mahali niliona pameandikwa hivyo nikakariri
Chelewa chelewa utakuta mwana si wako!Umeanza![]()
Aisee, naona kondoo anataka kumpoteza MchungajiInabidi nimwombee ili hiyo roho ya kuvunja amri ya upendo imtoke![]()

Hujakariri amri mpya tuliyopewa?Hahaha kuna mahali niliona pameandikwa hivyo nikakariri
