JamiiForums Usiku wa manane
Weràaaaa jaman niko pk yang akuje mrembo mmoja mzuri lain nicheze nae haap
 
Good morning watu wa Mungu,.muwe na siku njema yenye kibali na kupendeza...Mungu akawabariki sawasawa na uhitaji wenu..eimen!!!
 
Hapana Comrade.....
Ujue Mimi ni Baba mwenye huruma sana, ingawa nina mapungufu yangu kama mwana wa Adam.
Supendi na sifurahii kuona vitu kama hizi zikiendelea ku-exist kama hivi
Pole kwa kutofurahishwa ila tambua kuwa machozi ni sehemu ya maisha kwa mwanamke na mbaya zaidi kuna wanaume wenzio hufurahia kuyaona yakitiririka kama hivyo!
 
Pole kwa kutofurahishwa ila tambua kuwa machozi ni sehemu ya maisha kwa mwanamke na mbaya zaidi kuna wanaume wenzio hufurahia kuyaona yakitiririka kama hivyo!
Sawa Amigo....
 
Back
Top Bottom