D
Deleted member 485868
Guest
Mlale na salama
Karibu tulale woteeMlale na salama

hello ..... machokodoz anyone




Ameeen! Na kwako pia.Good morning watu wa Mungu,.muwe na siku njema yenye kibali na kupendeza...Mungu akawabariki sawasawa na uhitaji wenu..eimen!!!
Amina,.Ameeen! Na kwako pia.
Ile nanii nimeisahau, Ngoja tuone leo. Usiku mwemaEeeenhe!![]()
Basi bwana, maana hata leo utasahau tuIle nanii nimeisahau, Ngoja tuone leo. Usiku mwema

Kumbe upo macho. Upo fresh?Mshafanya yenu....![]()
![]()
Sijambo, hofu kwakoKumbe upo macho. Upo fresh?
Hapana Comrade.....Mshafanya yenu....![]()
![]()
Pole kwa kutofurahishwa ila tambua kuwa machozi ni sehemu ya maisha kwa mwanamke na mbaya zaidi kuna wanaume wenzio hufurahia kuyaona yakitiririka kama hivyo!Hapana Comrade.....
Ujue Mimi ni Baba mwenye huruma sana, ingawa nina mapungufu yangu kama mwana wa Adam.
Supendi na sifurahii kuona vitu kama hizi zikiendelea ku-exist kama hivi

Sawa Amigo....Pole kwa kutofurahishwa ila tambua kuwa machozi ni sehemu ya maisha kwa mwanamke na mbaya zaidi kuna wanaume wenzio hufurahia kuyaona yakitiririka kama hivyo!![]()
![]()
