Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,405
Duh watu hawajalala
Hii ni stori nzuriNaona tuko wawili tu karibu tuliwazane.
Soma hii love story kidogo..




nipe stori yake huwa si mpenzi wa nollywood,ila nampenda appearance yake plus idadi ya wanae na still looking hotAliingia nollywood kimazabe sanaa
Nelson Umenfanya nicheke,niache bana mwenzako aliniliwazaHii ni stori nzuri![]()
kumbatia mto fumba machoNataka kulala ila sina usingiz what to do...?
Nishajaribu hilo lkn imeshindikana.kumbatia mto fumba macho
Mkuu naunga mkono hojaNjaaa inauma hatari Kama Jana sijala vileee...



kidogo niandike sijui niamke nisonge ugali natamani chips zishuke kitandani nzishughulikieNjaaa inauma hatari Kama Jana sijala vileee...
Stori ya kupaa na watu weusi tii....ni romantic kwa kweliNelson Umenfanya nicheke,niache bana mwenzako aliniliwaza






mpigie simu akubembeleze ulale,mimi hapa kuna mtu kanlalia kifuani anakoroma namuonea wivu hatari natamani ningekuwa yeyeNishajaribu hilo lkn imeshindikana.
huo uchokozi sikuiamalizia hata nliogopa kupaaStori ya kupaa na watu weusi tii....ni romantic kwa kweli![]()
Naomba namba pm nikupigie Tupige stori hadi kuchwee. Maana sina wa kumpigia mie..mpigie simu akubembeleze ulale,mimi hapa kuna mtu kanlalia kifuani anakoroma namuonea wivu hatari natamani ningekuwa yeye
mpigie yule anaefanana na waziri ummy mwalimuNaomba namba pm nikupigie Tupige stori hadi kuchwee. Maana sina wa kumpigia mie..
Let try if it will happen. Thanx for sharingFanya hivi bro Da'vinci fumba macho halafu hesabu ukirudi nyuma ukianza na 80,mpaka ufike 20 ushasinziaa.
watu woyo tunaongezeka tu idadiMuda: 3.15
😀😀😀mpigie yule anaefanana na waziri ummy mwalimu