Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,560
ushala we boxOkay
ushala we boxOkay
ushala we boxOkay
ushala we box

Naam binamu...Binaaaa
Subir usikuNaam binamu...
Nini mbaya binaEeeh mwenyezi mungu simama nami kwenye wakati huuuuuView attachment 799917
Haaa kumbeee!Subir usiku
Itifaki izingatiwe geti bado halijafunguliwa
khaaaa jamaan kwaiyo kumisian ndo mgeuze mchana kua usikuPopoooooz....niliwamiss sana aisee!
ndo mtoage namba sasa sio mnatupa shida kuwatafuta wengine tulihamia kenya kabisaPopoooooz....niliwamiss sana aisee!
Kwa leo tusameheane tu kwakweli wacha usiku wetu uanze mapemakhaaaa jamaan kwaiyo kumisian ndo mgeuze mchana kua usiku
Alaaa kumbe! Wenzangu mlikuwa na mchepukondo mtoage namba sasa sio mnatupa shida kuwatafuta wengine tulihamia kenya kabisa
ndio tungeishije sasa mda wote huoAlaaa kumbe! Wenzangu mlikuwa na mchepuko
Mie nisie na mchepuko nilikonda kwa kuikosa jf, itabidi nifuate nyuki ili nile asalindio tungeishije sasa mda wote huo

Bila shaka huo wakati mgumu ushapita sasaEeeh mwenyezi mungu simama nami kwenye wakati huuuuuView attachment 799917