Mlevi hanaga muda wa mpira ,yy anadili na pombe zakeMuda huu unakutana na mlevi anakuuliza nani kashinda, wakati na yeye alikuwa baa anaangalia mpira.
Mkuu vp ile hela yangu niliyonunulia mchicha?![]()
![]()
![]()
Shaka ondoa kabisa.
Mkuu unaona sasa mmegeuka kweli daftari na watu wameandikia historia ya kuchukua ndoo mara ya Tetra consecutively yaani kweli mmetuangusha wengi,why lakini kutuaibisha huko kote????Sisi wenyewe kama ni historia ni waandishi wazuri tu, kula kabisa mchicha kwa wingi ili baadae macho yaone vyema![]()
MmmhMlale jamani mkue
Wapi Davet?mkuu vp tayari kwa bed?
Nimefungua geti nawasubiria wadauWapi Davet?mkuu vp tayari kwa bed?
Ngoja niwe miongoni mwa wale wa mwanzo mwanzo kuingia.Nimefungua geti nawasubiria wadau
Karibu kiongoziNgoja niwe miongoni mwa wale wa mwanzo mwanzo kuingia.
Shukran mkuu,leo nipo front bench sitaki kule back bench maana juzi mashabiki wa Liverpool walikuwa wanapiga sana kelele ila Jana hali ilitulia baada ya nyapara Ramos kuwashughulikia.Karibu kiongozi
Heeee mpaka leo bado haujashtuka kutoka ndotoni