JamiiForums Usiku wa manane
1. Mbona tukiwaambia tusaidiane kutafuta hela ili kusaidiana kutunza familia mnaruka futi mia? Huo usaidizi ni kwenye mambo gani?
3. Sio kila mila na desturi zinafaa kwa ulimwengu wa sasa ulivyo. (Ndio maana saivi chief wa ukoo/kabila fulani hazikwi na mtu/msindikizaji akiaga dunia.
4. Mwanamke haolewi ili akatunzwe na mume, bali ni kumsaidia mume majukumu.
5. Sijaona sababu ya tano.

NB;- Sijaona sababu ya msingi kwanini tulipe mahari (japo nishalipa).
Ilikuwaje ukalipa pasipo kuwa na sababu za msingi?
 
Ilikuwaje ukalipa pasipo kuwa na sababu za msingi?
Hawakuniambia ni mahari, nilifanya kazi za shamba miaka mitano bila malipo, nilipotaka kuondoka wakaniambia chukua binti yetu ukaishi nae, tumekuona wewe ni kijana mzuri, na mahari yake ni miaka 5 uliyofanya kazi. Kiufupi sikuwa na uwezo wa kukataa.
 
Back
Top Bottom