JamiiForums Usiku wa manane
1.Mwanaume ndiye anayepata msaidizi
2.Mwanaume anapata uwezekano wa kuongeza ukoo wake
3.Mila na desturi zetu toka enzi na enzi
4.Mwanaume anawahakikishia wakwe zake kuwa yuko vizuri kiasi kwamba ataweza kumtunza mke
1. Mbona tukiwaambia tusaidiane kutafuta hela ili kusaidiana kutunza familia mnaruka futi mia? Huo usaidizi ni kwenye mambo gani?
3. Sio kila mila na desturi zinafaa kwa ulimwengu wa sasa ulivyo. (Ndio maana saivi chief wa ukoo/kabila fulani hazikwi na mtu/msindikizaji akiaga dunia.
4. Mwanamke haolewi ili akatunzwe na mume, bali ni kumsaidia mume majukumu.
5. Sijaona sababu ya tano.

NB;- Sijaona sababu ya msingi kwanini tulipe mahari (japo nishalipa).
 
Back
Top Bottom