mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 22,580
- 45,178
[emoji23] [emoji23]Hahah!! [emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23] [emoji23]Hahah!! [emoji125][emoji125][emoji125]
Hahahaaa waelekeze kwangu waje kuniteka na mieMimi mwenyewe siwajui, japo nawaona wapo dirishani kwangu wanachungulia.
Mkuu nilijiunga na the Blues ilipofanyiwa mageuzi 2004 to date.Umesema London? Unashabikia nani pale?
Yeah kweli walikuwa wanatia huruma. Acha wajaribu bahayi yao mbele kwa mbele
Mpaka wanawake tulishajua kuwa ukitaka mwanaume mvumilivu basi olewa na shabiki wa Arsenal [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu sababu utaziona kuwa wanajenga timu mzee aliacha timu inatembelea rim kwa hiyo kocha apewe muda c unajua ile ni timu ya wenye mioyo migumu we 22+yrs bila ndoo na bado watu wamevumilia.
Dah! Kweli watani wa jadi hamkosagi la kuongea [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23]
Yule Mzee ndio aliyeichoka Arsenal, ndio maana akaamua kuachia ngazi. Wangemchoka wangeshamtimua.
Vipi tena?Hii sio haki kbs daah!
Hahahaha kumbeeee nahamia arsenal msimu mpya nimechoka kuwa bachelor.Mpaka wanawake tulishajua kuwa ukitaka mwanaume mvumilivu basi olewa na shabiki wa Arsenal [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kumbe na wewe umegundua hii janja yao eeeh!Wanaviziaaga wake zao wamelala wanaingia jf, mke akistuka ndio unaona na yeye anapotea
1. Mbona tukiwaambia tusaidiane kutafuta hela ili kusaidiana kutunza familia mnaruka futi mia? Huo usaidizi ni kwenye mambo gani?1.Mwanaume ndiye anayepata msaidizi
2.Mwanaume anapata uwezekano wa kuongeza ukoo wake
3.Mila na desturi zetu toka enzi na enzi
4.Mwanaume anawahakikishia wakwe zake kuwa yuko vizuri kiasi kwamba ataweza kumtunza mke
EbanaeeeeeMpaka wanawake tulishajua kuwa ukitaka mwanaume mvumilivu basi olewa na shabiki wa Arsenal [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa! Mimi nipo Darajani mkuu.Vipi mkuu mbona kama hili suala la Wenger kuondoka limekuumiza? Wewe ni shibiki wa Arsenal au ndo yale mambo ya adui mwombee njaa?[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli nimeamini shahawa huwa zinawalevya daaaah! anyway basVipi tena?
Tumelala fofofoMko macho au mmelala
Ila msimu huu mtani, naona kila mahali moto, sio kwa walowezi wala kwa jabali[emoji23]Dah! Kweli watani wa jadi hamkosagi la kuongea [emoji23] [emoji23] [emoji23]
50/50 haiusiani na mambo ya msingi kama mahari[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ile 50×50 ww haikuhusu? Enzi zetu ilikuwa hivyo lkn miaka ya leo naona hizo taratibu zinapotezwa na kupotea
Bas sawa[emoji23] [emoji23]50/50 haiusiani na mambo ya msingi kama mahari[emoji23][emoji23][emoji23]
Aliniambia nikamtembelee mimi nikaenda nikijua kwa vile ni popo mwenzangu hana shida, loo nivyoingia ndani tu akaniteka mazima[emoji134][emoji134][emoji134]Alikutekaje tekaje ?
Na wote tuseme Amen. Tatizo lako bayana unaficha na ya sirini unaleta bayana. (Najikumbusha mistari ya Mjomba)[emoji6]Nimesema hivi USIRUDIE KUNITEKA TENA
Kumbe tuko wote...safi sanaMkuu nilijiunga na the Blues ilipofanyiwa mageuzi 2004 to date.
Akikujibu unitag mkuu.Alikutekaje tekaje ?