JamiiForums Usiku wa manane
Sidhani kama upo sahihi kihivyo,

Fikiria kwa mfano tu next season Arsenal amalize ligi kwa kushika namba 10 position,hapo Wenger hatokumbukwa? Arsenal ikikosa kushiriki UCL kwa miaka mitatu tu Wenger hatokumbukwa?

Time will tell.
Mkuu sababu utaziona kuwa wanajenga timu mzee aliacha timu inatembelea rim kwa hiyo kocha apewe muda c unajua ile ni timu ya wenye mioyo migumu we 22+yrs bila ndoo na bado watu wamevumilia.
 
Mkuu sababu utaziona kuwa wanajenga timu mzee aliacha timu inatembelea rim kwa hiyo kocha apewe muda c unajua ile ni timu ya wenye mioyo migumu we 22+yrs bila ndoo na bado watu wamevumilia.
Hahahaa! Mkuu Arsenal ni kampuni ya biashara na sio team ya soccer ndio maana wenye team walivumilia tu,wanahesabu faida kuliko mafanikio "vikombe" teh! teh!
 
Sidhani kama upo sahihi kihivyo,

Fikiria kwa mfano tu next season Arsenal amalize ligi kwa kushika namba 10 position,hapo Wenger hatokumbukwa? Arsenal ikikosa kushiriki UCL kwa miaka mitatu tu Wenger hatokumbukwa?

Time will tell.
Vipi mkuu mbona kama hili suala la Wenger kuondoka limekuumiza? Wewe ni shibiki wa Arsenal au ndo yale mambo ya adui mwombee njaa?
 
1.Mwanaume ndiye anayepata msaidizi
2.Mwanaume anapata uwezekano wa kuongeza ukoo wake
3.Mila na desturi zetu toka enzi na enzi
4.Mwanaume anawahakikishia wakwe zake kuwa yuko vizuri kiasi kwamba ataweza kumtunza mke
Hivi ile 50×50 ww haikuhusu? Enzi zetu ilikuwa hivyo lkn miaka ya leo naona hizo taratibu zinapotezwa na kupotea
 
Mi ni jirani yao tu pale London ila nilijikuta hata mi nimemchoka aisee maana alikuwa anawakondesha watoto wa watu bure we mpaka jezi wanatembea nazo kwenye lasket wakishinda ndo unaona wanazifukunyua kuzivaa.
Umesema London? Unashabikia nani pale?
Yeah kweli walikuwa wanatia huruma. Acha wajaribu bahayi yao mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom