Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,474
- 206,014
Hahah!! AiseeKuna tamu Nakula kwa mfumo wa anakwenda anakwenda pale![]()
ni formation mpya matata saaana
Hahah!! AiseeKuna tamu Nakula kwa mfumo wa anakwenda anakwenda pale![]()
ni formation mpya matata saaana
Aisee, hivi daku huliwa saa ngapi kwa saa za Afrika Mashariki?Huo usingizi utakata kwa panga/kisu au shoka?![]()
Msitake kukwepa majukumu kulipa mahari ni wajibu wenukumbe umeona?
Swala la mahali bwana linategemea mtu na mtu unavyolichukulia na vyovyote utakavyoamua ni sawa tu iwe kuikubali au kukataa.....

Nitakujibu ukinambia walikoelekea wenzako uliokuwa nao HB wa kigogo na Samaritan.....mbona walivyoniona tu wamepotea?Aisee, hivi daku huliwa saa ngapi kwa saa za Afrika Mashariki?



Hahah!!! SawaMsitake kukwepa majukumu kulipa mahari ni wajibu wenu![]()
Mbalizi naona katoweka katika mazingira tatanishi....au kweli alikuwa anakula chakula kwa style mpya nini?Hahah!!! Sawa



Aisee, watakua wametekwa naNitakujibu ukinambia walikoelekea wenzako uliokuwa nao HB wa kigogo na Samaritan.....mbona walivyoniona tu wamepotea?![]()

Ili Arsenal wamkumbuke Wenger mkuu utakuwa ushaanza kupinda mgongo kwa uzee maana itabidi wakae miaka zaidi ya aliyokaa Wenger bila ndoo ndo wataanza kumkumbuka ila kwa sasa hakuna walichokipoteza.Salam zitafika ila Wenger mtamkumbuka sana,sometimes thamani ya kitu hujulikana pale unapokipoteza!
Hii ni habari njema sana kwa mashabiki! Bora apumzike, ili yajayo yafurahisheMzee wa watu kaamua kupumzika na kuwaachia team yenu! Mlimsakama kwa miaka mingi sana mkimtaka aachie ngazi! Teh! Teh!

Ina maana hujawaambia kuwa uliniteka wewe?Cc Inna HB wa kigogo, mtekwaji kajisalimisha mwenyewe, andaeni yale maswali yenu tafadhali
Hahah...Mbalizi naona katoweka katika mazingira tatanishi....au kweli alikuwa anakula chakula kwa style mpya nini?![]()
Taja sababu tano kwanini ni jukumu la mwanaume kulipa mahari. Ukiweza ...............Msitake kukwepa majukumu kulipa mahari ni wajibu wenu![]()
Kwani hao watu wawili hapo juu ndo wasiojulikana wenyewe nini?Aisee, watakua wametekwa na![]()
![]()
Duh! Kweli mlimchoka mzee wa watuIli Arsenal wamkumbuke Wenger mkuu utakuwa ushaanza kupinda mgongo kwa uzee maana itabidi wakae miaka zaidi ya aliyokaa Wenger bila ndoo ndo wataanza kumkumbuka ila kwa sasa hakuna walichokipoteza.

Hiyo sio ndoa labda ndoano, yaani atumikie ndoa ukiwa jf?Hahah...
Mbalizi atakua anatumikia ndoa huyo...


Muda wa kujiachia Jf yaani unazurura majukwaa yote utakavyo na kiboxer tu dah wazungu bhana we acha tu.
eti na boxerUjue siku hizi maandishi madogo siwezi kuyasoma kabisa, hebu nisomee kwa sauti haya maneno niyasikieIna maana hujawaambia kuwa uliniteka wewe?

Sidhani kama upo sahihi kihivyo,Ili Arsenal wamkumbuke Wenger mkuu utakuwa ushaanza kupinda mgongo kwa uzee maana itabidi wakae miaka zaidi ya aliyokaa Wenger bila ndoo ndo wataanza kumkumbuka ila kwa sasa hakuna walichokipoteza.
Mi ni jirani yao tu pale London ila nilijikuta hata mi nimemchoka aisee maana alikuwa anawakondesha watoto wa watu bure we mpaka jezi wanatembea nazo kwenye lasket wakishinda ndo unaona wanazifukunyua kuzivaa.Duh! Kweli mlimchoka mzee wa watu![]()
![]()
![]()