Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Wale wenzio huwa wanasema kobe hachoshwi na nyumba yake,Bila shaka PM wako kakusuta![]()
![]()
![]()
Uzuri akili yangu inajua jinsi ulivyo mzuri katika kugeuza mashtaka

Wale wenzio huwa wanasema kobe hachoshwi na nyumba yake,Bila shaka PM wako kakusuta![]()
![]()
![]()

Ndio, kama afanyavyo jogooMguu moja !!!
Itakuwa nina usingizi kwani Nimeandika lugha gani???Hiki kilugha chenu kigumu bwana, naomba unitafsirie....![]()
Lala ukue maana naona unataka kunifukulisha makaburi ya wahenga wenzanguWale wenzio huwa wanasema kobe hachoshwi na nyumba yake,![]()
Uzuri akili yangu inajua jinsi ulivyo mzuri katika kugeuza mashtaka![]()

Kwani nawe unaweza kuwika???Ndio, kama afanyavyo jogoo
Hayo bwana kwa mara ya mwisho niliyanywa kabla Dodoma halijawa jiji....kwahiyo usiyasingizie bure![]()
![]()
![]()
Punguza Maji ya Mlima mrefu Africa
Umeandika kisandaweItakuwa nina usingizi kwani Nimeandika lugha gani???
Hivi hiki ni kilingala eeh?Which benefits are talking about?
Naomba nikutafsi... KeshoUmeandika kisandawe
Za nini?Hisia

Basi kuja haraka hapaSijawahi onja konyagi tangu huyu ngosha aingie nyumba nyeupe.....labda unipe ofa leo
Lala ukue maana naona unataka kunifukulisha makaburi ya wahenga wenzangu![]()

Yaani kusema kokolikooooo tu ndo kunishinde khaaa nitakuwa mzembe wa mwisho sasaKwani nawe unaweza kuwika???
Kali sana, hizi Hisia za kuto kulalaZa nini?![]()
Jana yao!Kesho yetu

Hayo bwana kwa mara ya mwisho niliyanywa kabla Dodoma halijawa jiji....kwahiyo usiyasingizie bure