Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Hapana hicho ni kijitaHivi hiki ni kilingala eeh?
Hapana hicho ni kijitaHivi hiki ni kilingala eeh?
Linalowezekana leo lisingoje kesho...Naomba nikutafsi... Kesho
Please
Huwezi kuwika kama mmYaani kusema kokolikooooo tu ndo kunishinde khaaa nitakuwa mzembe wa mwisho sasa
Wika tusikieHuwezi kuwika kama mm
Unabisha.

Yaani kusema kokolikooooo tu ndo kunishinde khaaa nitakuwa mzembe wa mwisho sasa

Hivi kweli swahiba, kokolikoooo ooooh! Inaweza kunishinda kweli? Au mnataka tu kumpaisha jogoo
Kumbe uko na shost angu Mzigua90, basi mi siji nisije nikaleta mgongano wa kimaslahi@Mzigua90 hivi tuko wapi hapa?



Yupo hapa anagonga JD taratibuKumbe uko na shost angu Mzigua90, basi mi siji nisije nikaleta mgongano wa kimaslahi![]()
Bwana weeeee, nimefurahi kidogo. Furaha yangu itakamilika Chattel nayo ikiwa jiji![]()
![]()
Leo kuna kitu umeonja sio bure, au ndo furaha ya Mjini kati kuwa jiji.![]()
Mpe salamu zanguYupo hapa anagonga JD taratibu
mambo ThadLinalowezekana leo lisingoje kesho...
AmepokeaMpe salamu zangu
Bwana weeeee, nimefurahi kidogo. Furaha yangu itakamilika Chattel nayo ikiwa jiji
Kwani cha nje unakifahamu? Njoo tukiongeeHiki kitakua kile cha ndani kwelikweli![]()
![]()

Kuna mtu anakusalimia lakini!!Kwani cha nje unakifahamu? Njoo tukiongee![]()
![]()
![]()