farujeuri
Senior Member
- Jan 22, 2017
- 153
- 121
Njoo tucheze wote banaLeo nacheza muziki nani amelala nimuamshe![]()
Njoo tucheze wote banaLeo nacheza muziki nani amelala nimuamshe![]()
Braza hapa leo umeme umekatika halaf chaji asilimia chacheeeeAmkaaaa Iceman 3D
Ifunge kambaSijaendaa mm nimelala nymban hapa misukule inasumbuaa balaaa
Shukrani sana mkuu.Braza heppi besidei
Ahsante sana kwa kuwepo kwenye forum yetu hapa
Nakukubali sanaa
Braza hapa leo umeme umekatika halaf chaji asilimia chacheeee









nchi ya viwanda inakatikaje umeme bhan au unataka kuwa mchochezi?Hahahaaanchi ya viwanda inakatikaje umeme bhan au unataka kuwa mchochezi?
Niko hapa lindoniMko wapi ndio natoka ofcn
Wewe mbona unajibu sms za mwaka janaa akiiii jaman ?Niko hapa lindoni





daah kweli hpo hauna ujanja blazaHahahaaa
Yaan hapa ni shda mkuu nataka nimalizie tuu ishu zangu niangushe
Umeme doro

ila utarud usiwaze kabla hakujakuch mambo yatakuw freshKaka
Yes mpenzi dada
Nimekumiss nkaja
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Thank you sis!
Nilikuwa nasema nilale but sthing was telling me niendelee kulinda hapa kumbe upo

Hahahadaah kweli hpo hauna ujanja blazaila utarud usiwaze kabla hakujakuch mambo yatakuw fresh
Mimi hapaNan yupo lindoni
Braza mbona umeenda kutukisanya hukoll weee
Shda nn
![]()
![]()