mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Hahah Threads kibao siku hizi kumpondaHahahah
Kuna watu walikuwa wana muamini
Sku hizi naona kimyaa
Nikajua washa pigwa hao
Hahah Threads kibao siku hizi kumpondaHahahah
Kuna watu walikuwa wana muamini
Sku hizi naona kimyaa
Nikajua washa pigwa hao
Wacha wapigwe ubishi wao je umewaponzaHahah Threads kibao siku hizi kumponda
Hahah wapambane na hali yao tu.Wacha wapigwe ubishi wao je umewaponza
Nimezunguka mida flani kitaa huku chuga aisee usiku zile amsha amsha hakuna kitu aisee,pakamee hatariiWacha wapigwe ubishi wao je umewaponza
HahahaNimezunguka mida flani kitaa huku chuga aisee usiku zile amsha amsha hakuna kitu aisee,pakamee hatarii
Leo kiwanja gani mkuu
Mpe hi shem bhana
Hahah Jack daniels siku hizi ni mwendo wa kupima kwa double tu,mbwembwe za Chupa nzima kushnei hahahHahaha
Mambo magumuuu
Wano starehe time hizi wapigie salute mkuu
HahahahaaaHahah Jack daniels siku hizi ni mwendo wa kupima kwa double tu,mbwembwe za Chupa nzima kushnei hahah
Hahah hio ni kweli kabisaa mkuuHahahahaaa
Hatariii
Ila watu wanakwambia hata kipindi cha njaa cha mwaka 1983/84 bado watu walikuwa wana piga bia
Starehe zitapungua ila hazta isha





Poa musee niaje mie ndo popo humuOya faru vip?
Mie mzima wa afya, wapita Waenda wapi mremboMie napita tuu jamani, mzima wewe