JamiiForums Usiku wa manane
Tangu wamvunjie kanisa lake hapo dar siku hizi mara nyingi yuko mbele huko Korea,Japan,States inaonekana anakubalika huko.
Hahahah
Mwenzio anaenda kupiga hela we uchumi wa Tanzania huu kwa nn usubiri sadaka za bongo ambazo chache
 
Hahah kwan mkuu kipind kile cha kampeni hukumuonaga mzee wa kazi alipitiaga juu kwenye open roof kwenye lile li V8 mkuu?

Huo ulikuwa ushamba tuu
Ukute kuna watu walimshangilia kishenzi yaan
 

Huo ulikuwa ushamba tuu
Ukute kuna watu walimshangilia kishenzi yaan
Hahah walikua wanashangilia balaa,na ile siku walikua wanarudisha fom baada ya kuteuliwa wako kwenye pick up wanapunga mikono road ile gari imesimama tu mjomba kasharuka ardhini hahah,mama Samia akawa anashangaa tu hahah.
 
Hahah walikua wanashangilia balaa,na ile siku walikua wanarudisha fom baada ya kuteuliwa wako kwenye pick up wanapunga mikono road ile gari imesimama tu mjomba kasharuka ardhini hahah,mama Samia akawa anashangaa tu hahah.

Alikuwa weird toka kitambo asee
 
Back
Top Bottom