Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
jamaa anaona toto linamletea mapichapicha uskute jamaa alikuwa anatuma text ya kuomba hela sasa ameambiwa unataka shng ngap?ndio mtoto anaingia na lijoka lazma utupe smartphone tu
![]()
![]()
![]()
![]()

jamaa anaona toto linamletea mapichapicha uskute jamaa alikuwa anatuma text ya kuomba hela sasa ameambiwa unataka shng ngap?ndio mtoto anaingia na lijoka lazma utupe smartphone tu
![]()
![]()
![]()
![]()

Mzee huyu haishi Majanga siku moja akiwa kariakoo amepiga kazi siku hyo mambo yameenda vzr pochi limenona akasema ngoja niweke hizi hela kwny mpesa ili nisije ibiwa akaznguka ktuoni akaweka pesa mpesa.









Saf kweli uchumi wa viwandaaaaMko wapi ndio natoka ofcn
Umetisha bobMko wapi ndio natoka ofcn
Mzee huyu haishi Majanga siku moja akiwa kariakoo amepiga kazi siku hyo mambo yameenda vzr pochi limenona akasema ngoja niweke hizi hela kwny mpesa ili nisije ibiwa akaznguka ktuoni akaweka pesa mpesa.
Basi ile anarudi akakumbuka kuna demu mkali inabidi amtext Kama yupo free amuone Leo maana demu alimuambia siku ukiwa na pesa unitafute nikupe vtu vzr hujawahi pewa maishan mwako.
Basi akaanza kuchat nae:
Mzee:Mambo mkali wng.
Dada:saf mzma ww npo ?
Mzee:mm npo cool, vp Leo npo vzr upo wap?mm npo kariakoo hpa
Dada:Njoo hapa Shoppers karb na Saloon nakusubiria hapa dakika kumi tu nijibu kama unakuja.!
Mzee😛oa nakuja hpo fast a(kabla hajasend sms) Kibaka kapitia ile simu
Yule Mzee sasa akaanza kumtoa mbio kibaka huku anamwambia "Blaza Bonyeza OK , SEND, SEND HYO TAFADHALI"
![]()

Yes mpenzi dadaKaka
Nimekumiss nkajaYes mpenzi dada
Nimekumiss nkaja
Hahaha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Thank you sis!
Nilikuwa nasema nilale but sthing was telling me niendelee kulinda hapa kumbe upo
Aaauuuwwe! Thats so fine of you dada. Si unajua vile nikikuonaga nachangamka.Hahaha
Na mie nilikuwa natafuta uzi wa mapopo nikajua lazima upo babe brother
Oya faru vip?Nan yupo lindoni
Mie napita tuu jamani, mzima weweNan yupo lindoni
Jamani love kaka...Aaauuuwwe! Thats so fine of you dada. Si unajua vile nikikuonaga nachangamka.
Basi na mie akili ilikuwa inagoma kulal ili nikusbiri nikuone may be.
Leo niliokoteza okoteza vitu nadhani nika jaa tumboJamani love kaka...
Usiniambie hujala jamani!! Hivi unajua venye unaniumiza lakini?!
Khaaaa..Leo niliokoteza okoteza vitu nadhani nika jaa tumbo
Njoo tule now!
Nyama, mkate na juisiKhaaaa..
Unakula nini lakini?! Asante mie sahizi hapana!!
EwaaaaaNyama, mkate na juisi