JamiiForums Usiku wa manane
Hao ndio wazuri hao full kudanganyana tu akisema peoplesssss wew unasema powerrrrrrrrr
Hahah mwingine alilamika humu eti kuna demu ye anajifanyaga anapenda jukwaa la international yu eti ye anajua mambo ya vita vya syria,sijui China na wakina trump hahah
 
Hahah mwingine alilamika humu eti kuna demu ye anajifanyaga anapenda jukwaa la international yu eti ye anajua mambo ya vita vya syria,sijui China na wakina trump hahah
Aaah
Hao madem siwataki
Unakuta mambo ya Trump yumoo
Mambo ya Cr 7 na mesi anajua, simba na yananga yumo
Hadithi za Lara na shigongo yum
Mapenzi yumoo

Hata raha ya kuish naye mbona hamna
 
Back
Top Bottom