JamiiForums Usiku wa manane
Kweli kaka kama huna mipango na watu wa humu we enjoy tuu, kwenye nyuzi epusha ujuaji.
Bora ukadili na madem wa ints na fb japo mi nahisi ntapata windo langu humu humu
Hahaha mimi facebook nimeshawahi iufanya attempts mbali mbali ila kwa sugar sugar. Kila mara naenda off target. Ila nitalenga Facebook nawachungulia tuu sana ila my Sniping target sijalenga vzurii.
 
Instagram ni kama Album ya picha. Hivyo mtu anaona anaweka zile picha kali tuu jambo kama ni mshamba utamsoma tuu na kama ni slay queen utamtambua. Facebook tamu bwana alafu ina option nyingii.
Hapo bosi umeonge
Na wadada si unajua wanavo silishaga ming'ao picha zao. Unaeza ukadhani si mbongo
Sasa ukikutana naye live huta amini
 
Kule ni easy xna kwnz unamperuz MTU na kumdadis vzr unardhika nae halaf michongo mingne kama kawa mm kuna jamaa yng ameoa mke mzr lkn alimpata Fb bla kutarajia wakaanza kama utani mpk sasa hv Ana watoto wawil.
Daah Mungu aliwasaidia aisee,kuna washkaji zangu kazi zao ni kutafuta videmu vya chuo huko fb&insta wanavitumia open ticket ya ndege kama viko huko mkoani wanavichapa nao then muda wa kurudi kwao vinapandishwa bus.,hahah
 
Sema sasa huku hata kumjua yupiii. Ni mpoleee na yupi ni wa uhakika au yupi sio msiba ni ngumu sana aiseee.
Aaah
Ila braza huku ukifuatilia unajua
Huyu mdangaji, huyu ni muhuni ana pretend na huyu katulia ila.ana jifanya muhuni. Etc
Sema inafaa u observe mufa mrefu na upitie nyuzi nyiingi kuona alicho changia
 
Hahah nahisi walikua na mambo yao wale ila hali ya hewa ilichafuliwa mbaya kabisaa.
Mimi huwa nyuzi nazikosa hizo hahahah
Napenda sana sku ni shuhudie
Ila kuna sista wali wahi mchanaga hapa kuwa anamponda jamaa kuwa mshamba ila waungwana waka mwambia jamaa alisha mlla yey na refiki zake, mara yeye ana jiuza, wakataja hadi chuo anachosoma wacha sista aombe uzi ufutwe
 

Yaan mimi.mna nivunja mbavu aki.

Eeeh! Na yule si mama ako ukimtenda na yeye lazma akutende.
Ila uanaume kazi jamani
Hahah Mkuu unajua Mbowe ana miaka 56 na le mutuz anasemaga mbowe ni rafiki yake wa utotoni.

Sasa kumuweka uchi mzee ka lemutuz,Mungu anamuona aisee,hahah
 
Hahaha mimi facebook nimeshawahi iufanya attempts mbali mbali ila kwa sugar sugar. Kila mara naenda off target. Ila nitalenga Facebook nawachungulia tuu sana ila my Sniping target sijalenga vzurii.
Hahahaha
Jutahid upige ontarget bas, kule mbona ina wezekana kabsa
 
Hahah kweli mkuu,ingawa mimi simo mkuu.

Mimi ni mzee wa jukwaa la siasani kule hahah
Tupo wote kule mm huku nlikuw napita tu njia nkakutana na iceman 3D ikabid tuanzshe kijiwe hpa mara Leo akatokea whitehorse bas maisha yanaendelea. Tatzo la kule sku siasa sio tamu sanaaaa mpk uh najkuta bored bhan.
 
Back
Top Bottom