mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Hahah mkuu bila shaka ulikua hujui hata alishawahi kugundua chemical .Hahahaha
Nilikuwa niko busy ki aina but habari zake nimezicheki na nimeamini mkubwa huwa hadanganyi
Hahah mkuu bila shaka ulikua hujui hata alishawahi kugundua chemical .Hahahaha
Nilikuwa niko busy ki aina but habari zake nimezicheki na nimeamini mkubwa huwa hadanganyi
MkuuNjema. Uliangalia uzinduzi leo?
Mkuu ile selfie niaje,hahahTupo tu mkuu
Wiki nzima hii npo tait na bdo mpk jpilHahahaha
Nenda ukale maisha mkuu
Hahahahhhh ukuta umemuibua Mzee mvumbuzJana kuna mwana aliniahidi kupiga selfie juu ya ule ukuta wa mzee,nasubiri selfie hapa mazee


HahahahaJana kuna mwana aliniahidi kupiga selfie juu ya ule ukuta wa mzee,nasubiri selfie hapa mazee
Daaah xaf xna wazee kama hao ndio huwa mungu huwajalia zaidNop tupo na marafiki tu yeye hawez mikimiki yeti kaenda zake escape one
Mwananangu niko poa kabsa nikajua weekend hii shem kakuteka kama Nondo vileHahah mkuu mishe zinaendaje?
AnhaaaNop tupo na marafiki tu yeye hawez mikimiki yeti kaenda zake escape one
HahahahHahah mkuu bila shaka ulikua hujui hata alishawahi kugundua chemical .

AaahWiki nzima hii npo tait na bdo mpk jpil
Hahah aisee mzee nimemkubali,research ya mzee ya PHD ilikua inahusu jinsi maganda ya Korosho yanavyondoa kutu kwenye chumaHahahahhhh ukuta umemuibua Mzee mvumbuz![]()
Hahahahhhh wee acha ahadi haijawez kutekelezwaMkuu ile selfie niaje,hahah


Ungeweza kusingiziwa sio mzalendo kwa kupanda ukuta wa watu mwanangu,hahah.Hahahahhhh wee acha ahadi haijawez kutekelezwa![]()
Namkubal yule anaweza akajiandikia mwenyew appreciationHahah aisee mzee nimemkubali,research ya mzee ya PHD ilikua inahusu jinsi maganda ya Korosho yanavyondoa kutu kwenye chuma
sasa sijui maganda ya miwa tunaweza kuyavumbulia kufanya kitu gani mkuu?

half akajpaHahah mkuu tutembee kifua mbele tuko kwenye 'light truck' mkuu,hahahHahahah
Hana lolote yule agundur kwa uwezo upi alo nao![]()
Yan jamaa wanakupga bomba kabsa hawana masiharaUngeweza kusingiziwa sio mzalendo kwa kupanda ukuta wa watu mwanangu,hahah.
Nyie hayo mambo ya kujafili PHD ya mzee kuna watu walipotea hadi leoHahah aisee mzee nimemkubali,research ya mzee ya PHD ilikua inahusu jinsi maganda ya Korosho yanavyondoa kutu kwenye chuma
sasa sijui maganda ya miwa tunaweza kuyavumbulia kufanya kitu gani mkuu?
Hahah si unajua ukiwa mzalendo hata ukuta wa mita 3.5 kwenda juu unapanda tu hahahHahahaha
Angeanzaje hasa kupiga selfie hapo kwa ukuta
Tywaache mashetani wanao taka kuturudisha nyumaHahah mkuu tutembee kifua mbele tuko kwenye 'light truck' mkuu,hahah
