stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,998
- 4,250
Karibu mbeziiiiiiiiiiiii......popo wote mnaopatikana Dar kesho natia maguuu huko jaman bata batani ngoja nilale nisije sinzia kwenye basi
![]()
Karibu mbeziiiiiiiiiiiii......popo wote mnaopatikana Dar kesho natia maguuu huko jaman bata batani ngoja nilale nisije sinzia kwenye basi
![]()
Leo wamewah kulala wap ukiona hvo mvua inayesha mda huu watu wanalipa wengne wanapalilia yan balaa tupuJamani leo mmewahi kulala eeh?


wengne wanafua vyuma,wanaranda mbao,wanapga deki usafi wa nyimba zao daaah haki ya nani Mungu alituweza sana kutuamuru kufanya kazi usku.







KhaaaaLeo wamewah kulala wap ukiona hvo mvua inayesha mda huu watu wanalipa wengne wanapalilia yan balaa tupuwengne wanafua vyuma,wanaranda mbao,wanapga deki usafi wa nyimba zao daaah haki ya nani Mungu alituweza sana kutuamuru kufanya kazi usku.
![]()
Binafsi nipo napiga story na Boda Boda ,Mwenge hapaJamani leo mmewahi kulala eeh?
Ndio ivo yan atakaerudi humu bdae usku ujue hajachoshwa na kazi kwahyo ili kutoa stress ndio anakuja kumalizia humu usku wakeKhaaaa
Watu wako njema Jf hii
Wana wajibika



hahahaaaaa htariii xnaBinafsi nipo napiga story na Boda Boda ,Mwenge hapa
Ndio ivo yan atakaerudi humu bdae usku ujue hajachoshwa na kazi kwahyo ili kutoa stress ndio anakuja kumalizia humu usku wake![]()
Hahahahhhhh![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
atakaye wahi kurudi jua ndio wale wa dakika mbili mbili tuu washa finish


OyapopooooooooooooZ
What happened my love!04:54
Shwari kaka*
poa shwari.
Kuna mbu waliwahi ning'ata mpaka nikajia wako kwenye maandamano kuna kitu niliwakoseaNaomba kuuliza,hivi kuna wadudu wana Dhambi kama mbu yaanai:
wanakung'ata
wanakusababishia maumivu
wanakukatia usingizi
wanakuambukiza malaria n.k
Yan Ndoto nyingne za kifala sana bhana.
Tangu saa tano kasoro nmelala nkajkuta naota nmeingia sehm hv kwny chumba kikubwaa nkakutana na hela nyingii sana si nikaanza kuzikusanya bhana yan nmekusanya nying sana kweli mpk nkajsemea hapa mama watoto lazima anione kidume nkirud geto..
Aaaaah nimeshtuka napigwa bonge la bao la mgongo kuchek ile kushtuka fasta nkajua hapa nshakamatwa tyari ntanyanganywa pesa zoteee, ndio nashangaa mke wangu ananimbia "Baba Wawili" "jaman mbona una visa jamani sasa unakusanya shuka lote kifuani ili iweje mume wangu" daah ikabid nishuke ktandan niwashe tv tu maana ni aibu hii.
Nipo naangalia filamu hapa mda huu inaitwa "Mbuzi kala mkeka". Hahahhhhh Mzee legeza kidogo mpk kwny ndoto maisha magumu.










